Hesabu 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ila tu msimwasi Yehova;+ nanyi msiwaogope watu wa nchi hiyo,+ kwa maana wao ni mkate kwetu. Ulinzi wao umegeuka kutoka juu yao,+ na Yehova yuko pamoja nasi.+ Msiwaogope.”+ Zaburi 46:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu yuko katikati ya jiji;+ halitatikisika.+Mungu atalisaidia wakati wa mapambazuko ya asubuhi.+
9 Ila tu msimwasi Yehova;+ nanyi msiwaogope watu wa nchi hiyo,+ kwa maana wao ni mkate kwetu. Ulinzi wao umegeuka kutoka juu yao,+ na Yehova yuko pamoja nasi.+ Msiwaogope.”+