14 Kwa maana Yehova Mungu wako anatembea ndani ya kambi yako ili kukukomboa+ na kuwatia adui zako mkononi mwako;+ na kambi yako lazima iwe takatifu,+ ili asione kitu chochote kisichofaa ndani yako naye ageuke na kuacha kuandamana nawe.+
9 Sitaonyesha hasira yangu inayowaka.+ Sitaharibu tena Efraimu,+ kwa maana mimi ni Mungu,+ mimi si mwanadamu, mimi ndiye Mtakatifu katikati yako;+ wala sitakuja nikiwa na hasira.