Zaburi 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mpigieni Yehova muziki, yeye anayekaa Sayuni;+Tangazeni matendo yake katikati ya vikundi vya watu.+ Zaburi 48:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Katika minara ya makao yake Mungu amejulikana kuwa kilele salama.+ Zaburi 74:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulikumbuke kusanyiko lako ulilojipatia zamani za kale,+Kabila ulilolikomboa liwe urithi wako,+Huu Mlima Sayuni ambapo umekaa.+ Zaburi 76:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na maficho yake yako katika Salemu,+Na makao yake katika Sayuni.+ Zaburi 78:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Bali alichagua kabila la Yuda,+Mlima Sayuni, ambao aliupenda.+ Zaburi 135:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na abarikiwe Yehova kutoka Sayuni,+Anayekaa katika Yerusalemu.+Msifuni Yah!+ Waebrania 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni+ na jiji+ la Mungu aliye hai, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika,+
11 Mpigieni Yehova muziki, yeye anayekaa Sayuni;+Tangazeni matendo yake katikati ya vikundi vya watu.+
2 Ulikumbuke kusanyiko lako ulilojipatia zamani za kale,+Kabila ulilolikomboa liwe urithi wako,+Huu Mlima Sayuni ambapo umekaa.+
22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni+ na jiji+ la Mungu aliye hai, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika,+