Zaburi 66:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Njooni mwone matendo ya Mungu.+Kushughulika kwake na wana wa binadamu kunaogopesha.+ Zaburi 96:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+ Zaburi 105:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 105 Mshukuruni Yehova, liitieni jina lake,+Yajulisheni matendo yake katikati ya vikundi vya watu.+ Zaburi 107:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na watoe dhabihu za kutoa shukrani+Na kutangaza kazi zake kwa vigelegele vya shangwe.+ Isaya 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na katika siku hiyo hakika mtasema: “Mpeni Yehova shukrani!+ Liitieni jina lake.+ Tangazeni matendo yake kati ya vikundi vya watu.+ Semeni kwamba jina lake limeinuliwa juu.+
10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+
4 Na katika siku hiyo hakika mtasema: “Mpeni Yehova shukrani!+ Liitieni jina lake.+ Tangazeni matendo yake kati ya vikundi vya watu.+ Semeni kwamba jina lake limeinuliwa juu.+