Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 66:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Njooni mwone matendo ya Mungu.+

      Kushughulika kwake na wana wa binadamu kunaogopesha.+

  • Zaburi 96:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+

      Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+

      Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+

  • Zaburi 105:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 105 Mshukuruni Yehova, liitieni jina lake,+

      Yajulisheni matendo yake katikati ya vikundi vya watu.+

  • Zaburi 107:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na watoe dhabihu za kutoa shukrani+

      Na kutangaza kazi zake kwa vigelegele vya shangwe.+

  • Isaya 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na katika siku hiyo hakika mtasema: “Mpeni Yehova shukrani!+ Liitieni jina lake.+ Tangazeni matendo yake kati ya vikundi vya watu.+ Semeni kwamba jina lake limeinuliwa juu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki