Zaburi 67:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Vikundi vya mataifa na vishangilie na kupiga vigelegele kwa shangwe,+Kwa maana utavihukumu vikundi vya watu kwa unyoofu;+Navyo vikundi vya mataifa, utaviongoza duniani. Sela. Zaburi 98:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+ 1 Petro 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Alipokuwa akitukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali aliendelea kujiweka mkononi mwa yule+ ambaye anahukumu kwa uadilifu.
4 Vikundi vya mataifa na vishangilie na kupiga vigelegele kwa shangwe,+Kwa maana utavihukumu vikundi vya watu kwa unyoofu;+Navyo vikundi vya mataifa, utaviongoza duniani. Sela.
9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+
23 Alipokuwa akitukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali aliendelea kujiweka mkononi mwa yule+ ambaye anahukumu kwa uadilifu.