Yeremia 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+ Yohana 8:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Lakini mimi sijitafutii utukufu;+ kuna Mmoja anayetafuta na anayehukumu.+ Waroma 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 bali pia kwa ajili yetu ambao itahesabiwa, kwa sababu tunamwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.+
20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+
24 bali pia kwa ajili yetu ambao itahesabiwa, kwa sababu tunamwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.+