Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Naye mwenyewe ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa;+

      Atavihukumu vikundi vya mataifa kwa unyoofu.+

  • Zaburi 96:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+

      Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+

      Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+

  • Zaburi 98:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+

      Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+

      Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+

  • Waroma 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki