Zaburi 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye mwenyewe ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa;+Atavihukumu vikundi vya mataifa kwa unyoofu.+ Zaburi 96:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+ Matendo 17:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa sababu ameweka siku ambayo katika hiyo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia kwa mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua+ kutoka kwa wafu.”
8 Naye mwenyewe ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa;+Atavihukumu vikundi vya mataifa kwa unyoofu.+
10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+
31 Kwa sababu ameweka siku ambayo katika hiyo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia kwa mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua+ kutoka kwa wafu.”