Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Naye mwenyewe ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa;+

      Atavihukumu vikundi vya mataifa kwa unyoofu.+

  • Zaburi 96:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+

      Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+

      Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+

  • Matendo 17:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa sababu ameweka siku ambayo katika hiyo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia kwa mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua+ kutoka kwa wafu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki