Yohana 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+ Matendo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kuyafungua maumivu makali ya kifo,+ kwa sababu haikuwezekana kiendelee kumshika.+ Matendo 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 kwamba Mungu ameitimiza kabisa kwetu sisi tulio watoto wao kwa kuwa alimfufua Yesu;+ hata kama vile ambavyo imeandikwa katika zaburi ya pili, ‘Wewe ni mwanangu, mimi nimekuwa Baba yako leo.’+ Waroma 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana ikiwa tumeungana pamoja naye katika mfano wa kifo chake,+ hakika sisi pia tutaunganishwa pamoja naye katika mfano wa ufufuo+ wake;
25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+
24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kuyafungua maumivu makali ya kifo,+ kwa sababu haikuwezekana kiendelee kumshika.+
33 kwamba Mungu ameitimiza kabisa kwetu sisi tulio watoto wao kwa kuwa alimfufua Yesu;+ hata kama vile ambavyo imeandikwa katika zaburi ya pili, ‘Wewe ni mwanangu, mimi nimekuwa Baba yako leo.’+
5 Kwa maana ikiwa tumeungana pamoja naye katika mfano wa kifo chake,+ hakika sisi pia tutaunganishwa pamoja naye katika mfano wa ufufuo+ wake;