Zaburi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+ Matendo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 lakini mlimuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, uhakika ambao sisi ni mashahidi+ wake. Waroma 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 bali pia kwa ajili yetu ambao itahesabiwa, kwa sababu tunamwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.+ 1 Wakorintho 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Mungu alimfufua Bwana+ na pia atatufufua sisi kutoka kwenye kifo+ kupitia nguvu zake.+ Wakolosai 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa maana mlizikwa pamoja naye katika ubatizo wake,+ na kwa uhusiano pamoja naye mlifufuliwa+ pia pamoja kupitia imani+ yenu katika utendaji+ wa Mungu, aliyemfufua huyo kutoka kwa wafu.+ Waebrania 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu,
15 lakini mlimuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, uhakika ambao sisi ni mashahidi+ wake.
24 bali pia kwa ajili yetu ambao itahesabiwa, kwa sababu tunamwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.+
12 kwa maana mlizikwa pamoja naye katika ubatizo wake,+ na kwa uhusiano pamoja naye mlifufuliwa+ pia pamoja kupitia imani+ yenu katika utendaji+ wa Mungu, aliyemfufua huyo kutoka kwa wafu.+
20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu,