Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+

      Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+

  • Matendo 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 lakini mlimuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, uhakika ambao sisi ni mashahidi+ wake.

  • Waroma 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 bali pia kwa ajili yetu ambao itahesabiwa, kwa sababu tunamwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.+

  • 1 Wakorintho 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini Mungu alimfufua Bwana+ na pia atatufufua sisi kutoka kwenye kifo+ kupitia nguvu zake.+

  • Wakolosai 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 kwa maana mlizikwa pamoja naye katika ubatizo wake,+ na kwa uhusiano pamoja naye mlifufuliwa+ pia pamoja kupitia imani+ yenu katika utendaji+ wa Mungu, aliyemfufua huyo kutoka kwa wafu.+

  • Waebrania 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki