4 Kwa hiyo tulizikwa+ pamoja naye kupitia ubatizo wetu katika kifo chake, ili, kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka kwa wafu kupitia utukufu wa Baba,+ vivyo hivyo sisi pia tunapaswa tutembee katika hali mpya ya uzima.+
29 Kama sivyo, watafanya nini wale wanaobatizwa kwa kusudi la kuwa wafu?+ Ikiwa wafu hawatafufuliwa kamwe,+ kwa nini pia wanabatizwa+ kwa kusudi la kuwa hivyo?