1 Wakorintho 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Mungu alimfufua Bwana+ na pia atatufufua sisi kutoka kwenye kifo+ kupitia nguvu zake.+ 2 Timotheo 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Neno hili ni la uaminifu:+ Hakika ikiwa tulikufa pamoja, tutaishi pamoja pia;+