2 Wakorintho 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi ikiwa yeyote yuko katika muungano na Kristo, yeye ni kiumbe kipya;+ mambo ya zamani yalipitilia mbali,+ tazama! mambo mapya yamekuja kuwako.+ Wagalatia 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana tohara si kitu wala kutotahiriwa,+ bali kiumbe kipya+ ndicho kitu. Waefeso 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa kusudi la kwamba awawezeshe ninyi kulingana na utajiri+ wa utukufu wake mfanywe kuwa na uwezo katika mtu mliye kwa ndani+ mkiwa na nguvu kupitia roho yake,+ Wakolosai 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na mjivike utu mpya,+ ambao kupitia ujuzi sahihi unafanywa kuwa mpya kulingana na mfano+ wa Yule aliyeuumba, 1 Yohana 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sisi tunajua tumevuka kutoka kifo mpaka uzima,+ kwa sababu tunawapenda akina ndugu.+ Yeye ambaye hapendi hukaa katika kifo.+
17 Basi ikiwa yeyote yuko katika muungano na Kristo, yeye ni kiumbe kipya;+ mambo ya zamani yalipitilia mbali,+ tazama! mambo mapya yamekuja kuwako.+
16 kwa kusudi la kwamba awawezeshe ninyi kulingana na utajiri+ wa utukufu wake mfanywe kuwa na uwezo katika mtu mliye kwa ndani+ mkiwa na nguvu kupitia roho yake,+
10 na mjivike utu mpya,+ ambao kupitia ujuzi sahihi unafanywa kuwa mpya kulingana na mfano+ wa Yule aliyeuumba,
14 Sisi tunajua tumevuka kutoka kifo mpaka uzima,+ kwa sababu tunawapenda akina ndugu.+ Yeye ambaye hapendi hukaa katika kifo.+