Yohana 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Yule ambaye husikia neno langu na kumwamini yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye haingii hukumuni bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia katika uzima.+ Waroma 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana sheria+ ya ile roho+ ambayo hutokeza uzima+ katika muungano na Kristo Yesu imewaweka ninyi huru+ kutoka katika sheria ya dhambi na kifo.+
24 Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Yule ambaye husikia neno langu na kumwamini yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye haingii hukumuni bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia katika uzima.+
2 Kwa maana sheria+ ya ile roho+ ambayo hutokeza uzima+ katika muungano na Kristo Yesu imewaweka ninyi huru+ kutoka katika sheria ya dhambi na kifo.+