10 Sikuzote kila mahali katika mwili wetu tunavumilia matendo yenye kuleta kifo ambayo Yesu alitendewa,+ ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu.+
12 kwa maana mlizikwa pamoja naye katika ubatizo wake,+ na kwa uhusiano pamoja naye mlifufuliwa+ pia pamoja kupitia imani+ yenu katika utendaji+ wa Mungu, aliyemfufua huyo kutoka kwa wafu.+