Yohana 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kupitia kwake kilikuwa uzima,+ na uzima ndio uliokuwa nuru+ ya wanadamu. Yohana 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.+ Wakolosai 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati Kristo, aliye uhai wetu,+ atakapofunuliwa, ndipo ninyi pia mtakapofunuliwa+ pamoja naye katika utukufu.+ 1 Yohana 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa,+ na sisi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwapa ninyi habari juu ya uzima wa milele+ ambao ulikuwa pamoja na Baba na ukafunuliwa kwetu,) Ufunuo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+
6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.+
4 Wakati Kristo, aliye uhai wetu,+ atakapofunuliwa, ndipo ninyi pia mtakapofunuliwa+ pamoja naye katika utukufu.+
2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa,+ na sisi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwapa ninyi habari juu ya uzima wa milele+ ambao ulikuwa pamoja na Baba na ukafunuliwa kwetu,)
18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+