Yohana 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Huyo ndiye mwanafunzi+ ambaye anatoa ushahidi juu ya mambo haya na ambaye aliyaandika mambo haya, na sisi tunajua kwamba ushahidi anaotoa ni wa kweli.+ Matendo 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yesu huyo Mungu alimfufua, uhakika ambao sisi sote ni mashahidi.+
24 Huyo ndiye mwanafunzi+ ambaye anatoa ushahidi juu ya mambo haya na ambaye aliyaandika mambo haya, na sisi tunajua kwamba ushahidi anaotoa ni wa kweli.+