Yohana 5:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake mwenyewe,+ ndivyo pia amemruhusu Mwana awe na uzima ndani yake mwenyewe.+ Matendo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 lakini mlimuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, uhakika ambao sisi ni mashahidi+ wake. 1 Yohana 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa,+ na sisi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwapa ninyi habari juu ya uzima wa milele+ ambao ulikuwa pamoja na Baba na ukafunuliwa kwetu,) 1 Yohana 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na huu ndio ushahidi ambao umetolewa, kwamba Mungu alitupa sisi uzima wa milele,+ na uzima huu umo ndani ya Mwana+ wake.
26 Kwa maana kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake mwenyewe,+ ndivyo pia amemruhusu Mwana awe na uzima ndani yake mwenyewe.+
15 lakini mlimuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, uhakika ambao sisi ni mashahidi+ wake.
2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa,+ na sisi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwapa ninyi habari juu ya uzima wa milele+ ambao ulikuwa pamoja na Baba na ukafunuliwa kwetu,)
11 Na huu ndio ushahidi ambao umetolewa, kwamba Mungu alitupa sisi uzima wa milele,+ na uzima huu umo ndani ya Mwana+ wake.