Zaburi 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mpigieni Yehova muziki, yeye anayekaa Sayuni;+Tangazeni matendo yake katikati ya vikundi vya watu.+ Zaburi 73:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini mimi, kumkaribia Mungu ni kwema kwangu.+Nimeweka kimbilio langu katika Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova,+Ili kutangaza kazi zako zote.+ Zaburi 118:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sitakufa, bali nitaendelea kuishi,+Ili nizitangaze kazi za Yah.+
11 Mpigieni Yehova muziki, yeye anayekaa Sayuni;+Tangazeni matendo yake katikati ya vikundi vya watu.+
28 Lakini mimi, kumkaribia Mungu ni kwema kwangu.+Nimeweka kimbilio langu katika Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova,+Ili kutangaza kazi zako zote.+