1 Mambo ya Nyakati 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mshukuruni Yehova;+ liitieni jina lake,+Yajulisheni matendo yake katikati ya vikundi vya watu!+ Zaburi 105:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 105 Mshukuruni Yehova, liitieni jina lake,+Yajulisheni matendo yake katikati ya vikundi vya watu.+ Waroma 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana “kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokolewa.”+