Yoeli 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na itakuwa kwamba kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokoka;+ kwa maana katika Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwako wale walioponyoka,+ kama vile ambavyo Yehova amesema, na kati ya waokokaji, ambao Yehova anaita.”+ Sefania 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana ndipo nitakapobadilisha lugha ya vikundi vya watu na kuwapa lugha safi,+ ili wote waliitie jina la Yehova,+ wamtumikie bega kwa bega.’+ Matendo 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokolewa.” ’+
32 Na itakuwa kwamba kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokoka;+ kwa maana katika Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwako wale walioponyoka,+ kama vile ambavyo Yehova amesema, na kati ya waokokaji, ambao Yehova anaita.”+
9 Kwa maana ndipo nitakapobadilisha lugha ya vikundi vya watu na kuwapa lugha safi,+ ili wote waliitie jina la Yehova,+ wamtumikie bega kwa bega.’+