Isaya 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Katika siku hiyo kutakuwa na majiji matano katika nchi ya Misri+ yanayosema lugha ya Kanaani+ na kuapa+ kwa Yehova wa majeshi. Jiji moja litaitwa Jiji la Kubomoa. Waefeso 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+
18 Katika siku hiyo kutakuwa na majiji matano katika nchi ya Misri+ yanayosema lugha ya Kanaani+ na kuapa+ kwa Yehova wa majeshi. Jiji moja litaitwa Jiji la Kubomoa.
25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+