Isaya 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo kutakuwa na majiji matano katika nchi ya Misri yanayozungumza lugha ya Kanaani+ na kuapa kuwa washikamanifu kwa Yehova wa majeshi. Jiji moja litaitwa Jiji la Kubomoa. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 19:18 ip-1 204 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:18 Unabii wa Isaya 1, uku. 204
18 Siku hiyo kutakuwa na majiji matano katika nchi ya Misri yanayozungumza lugha ya Kanaani+ na kuapa kuwa washikamanifu kwa Yehova wa majeshi. Jiji moja litaitwa Jiji la Kubomoa.