Isaya 46:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nimeuleta karibu uadilifu wangu.+ Hauko mbali,+ na wokovu wangu hautachelewa.+ Nami nitaleta wokovu katika Sayuni, na kwa Israeli uzuri wangu.”+ Obadia 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Na katika Mlima Sayuni ndipo watakapokuwa wale wanaoponyoka,+ nao utakuwa kitu kitakatifu;+ na nyumba ya Yakobo itamiliki mali yao.+
13 Nimeuleta karibu uadilifu wangu.+ Hauko mbali,+ na wokovu wangu hautachelewa.+ Nami nitaleta wokovu katika Sayuni, na kwa Israeli uzuri wangu.”+
17 “Na katika Mlima Sayuni ndipo watakapokuwa wale wanaoponyoka,+ nao utakuwa kitu kitakatifu;+ na nyumba ya Yakobo itamiliki mali yao.+