3 Na itatukia kwamba wale waliobaki katika Sayuni na wale waliosalia katika Yerusalemu watasemwa kuwa ni watakatifu kwake,+ kila mtu aliyeandikwa kwa ajili ya uzima katika Yerusalemu.+
3 “Yehova asema hivi, ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa katikati ya Yerusalemu; na Yerusalemu+ litaitwa jiji la ukweli,+ na mlima wa Yehova+ wa majeshi, ule mlima mtakatifu.’ ”+