Kutoka 32:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini sasa ikiwa utasamehe dhambi yao,+—na ikiwa sivyo, nifute,+ tafadhali, kutoka katika kitabu+ chako ambacho umeandika.” Ufunuo 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yeye atakayeshinda+ atapambwa hivyo mavazi meupe ya nje;+ nami sitalifuta kwa vyovyote jina lake kutoka katika kitabu cha uzima,+ bali nitalikiri jina lake mbele za Baba+ yangu na mbele ya malaika+ zake. Ufunuo 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Zaidi ya hayo, yeyote ambaye hakupatikana ameandikwa katika kile kitabu cha uzima+ alitupwa ndani ya lile ziwa la moto.+
32 Lakini sasa ikiwa utasamehe dhambi yao,+—na ikiwa sivyo, nifute,+ tafadhali, kutoka katika kitabu+ chako ambacho umeandika.”
5 Yeye atakayeshinda+ atapambwa hivyo mavazi meupe ya nje;+ nami sitalifuta kwa vyovyote jina lake kutoka katika kitabu cha uzima,+ bali nitalikiri jina lake mbele za Baba+ yangu na mbele ya malaika+ zake.
15 Zaidi ya hayo, yeyote ambaye hakupatikana ameandikwa katika kile kitabu cha uzima+ alitupwa ndani ya lile ziwa la moto.+