19 Usamehe, tafadhali, kosa la watu hawa kulingana na ukuu wa fadhili zako zenye upendo, na kama vile ambavyo umewasamehe watu hawa tangu Misri na kuendelea mpaka sasa.”+
18 “Sasa, njooni, nasi tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Hata dhambi zenu zikiwa nyekundu, zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+ hata zikiwa nyekundu kama kitambaa chekundu; zitakuwa kama sufu.