Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yehova amesema hivi: “Baba zenu walipata jambo gani ndani yangu ambalo halikuwa la haki,+ hivi kwamba wakasimama mbali sana nami,+ nao wakaendelea kufuata sanamu ya ubatili+ na wao wenyewe wakawa ubatili?+

  • Hosea 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Ee Israeli, rudi kwa Yehova Mungu wako,+ kwa maana umejikwaa katika kosa lako.+

  • Mika 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sikieni, enyi milima, sikieni kesi ya Yehova, pia ninyi vyombo vya kudumu, ninyi misingi ya dunia;+ kwa maana Yehova ana kesi na watu wake, naye atahojiana na Israeli:+

  • Yakobo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.+ Safisheni mikono yenu, ninyi watenda-dhambi,+ na takaseni mioyo yenu,+ ninyi wenye kusitasita.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki