Kumbukumbu la Torati 32:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+Nao utateketeza dunia na mazao yake+Nao utawasha misingi ya milima.+ Zaburi 50:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Mwenye Uwezo,+ Mungu, Yehova,+ amesema mwenyewe,+Naye anaiita dunia,+Kutoka mashariki mpaka magharibi.+ Methali 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 alipoiwekea bahari sheria yake kwamba maji yasipite agizo lake,+ alipoiweka misingi ya dunia,+ Isaya 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sikieni,+ enyi mbingu, utege sikio, Ee dunia, kwa maana Yehova mwenyewe amesema: “Nimelea na kukuza wana,+ lakini wao wenyewe wameniasi.+ Yeremia 31:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Yehova amesema hivi: “‘Mbingu zilizo juu zikiweza kupimwa na misingi ya dunia iliyo chini ikiweza kuchunguzwa,+ vivyo hivyo mimi mwenyewe ningeweza kuukataa uzao wote wa Israeli kwa sababu ya yote ambayo wamefanya,’+ asema Yehova.”
22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+Nao utateketeza dunia na mazao yake+Nao utawasha misingi ya milima.+
50 Mwenye Uwezo,+ Mungu, Yehova,+ amesema mwenyewe,+Naye anaiita dunia,+Kutoka mashariki mpaka magharibi.+
2 Sikieni,+ enyi mbingu, utege sikio, Ee dunia, kwa maana Yehova mwenyewe amesema: “Nimelea na kukuza wana,+ lakini wao wenyewe wameniasi.+
37 Yehova amesema hivi: “‘Mbingu zilizo juu zikiweza kupimwa na misingi ya dunia iliyo chini ikiweza kuchunguzwa,+ vivyo hivyo mimi mwenyewe ningeweza kuukataa uzao wote wa Israeli kwa sababu ya yote ambayo wamefanya,’+ asema Yehova.”