22 “Mwenye Uwezo,+ Mungu,+ Yehova, Mwenye Uwezo, Mungu, Yehova,+ yeye anajua,+ na Israeli pia atajua.+ Ikiwa ni kwa uasi+ na ikiwa ni kwa kukosa uaminifu kwa Yehova,+ usituokoe leo hii.
18 Wewe unayeonyesha fadhili zenye upendo kuelekea maelfu,+ na kulipa kosa la akina baba katika vifua vya wana wao baada yao,+ Mungu wa kweli, aliye Mkuu,+ Mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi+ ndilo jina lake,+