Zaburi 50:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Mwenye Uwezo,+ Mungu, Yehova,+ amesema mwenyewe,+Naye anaiita dunia,+Kutoka mashariki mpaka magharibi.+ Matendo 17:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni uzao wa Mungu,+ hatupaswi kuwazia kwamba Mungu+ ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na mtungo wa mwanadamu.+
50 Mwenye Uwezo,+ Mungu, Yehova,+ amesema mwenyewe,+Naye anaiita dunia,+Kutoka mashariki mpaka magharibi.+
29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni uzao wa Mungu,+ hatupaswi kuwazia kwamba Mungu+ ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na mtungo wa mwanadamu.+