8 “‘Usijifanyie sanamu ya kuchongwa,+ umbo+ lolote lililo kama kitu chochote kilicho mbinguni juu au kilicho duniani chini au kilicho katika maji chini ya dunia.
26 Pia, mnaona na kusikia jinsi si katika Efeso+ tu, bali pia katika karibu wilaya yote ya Asia, Paulo huyu ameshawishi umati mkubwa na kuwageuza kwenye kauli nyingine, akisema kwamba wale waliofanywa kwa mikono+ si miungu.