Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye akajibu: “Kesho.” Basi akasema: “Itakuwa kulingana na neno lako, ili ujue kwamba hakuna mwingine yeyote aliye kama Yehova Mungu wetu,+

  • Kutoka 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+

      Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+

      Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+

  • Zaburi 113:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ni nani aliye kama Yehova Mungu wetu,+

      Yeye anayefanya makao yake juu?+

  • Isaya 40:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Lakini ninyi mnaweza kunifananisha na nani ili nipate kuwa sawa naye?” asema aliye Mtakatifu.+

  • Yeremia 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa vyovyote hakuna yeyote aliye kama wewe, Ee Yehova.+ Wewe ni mkuu, na jina lako ni kuu katika nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki