Kutoka 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye akajibu: “Kesho.” Basi akasema: “Itakuwa kulingana na neno lako, ili ujue kwamba hakuna mwingine yeyote aliye kama Yehova Mungu wetu,+ Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+ Zaburi 113:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni nani aliye kama Yehova Mungu wetu,+Yeye anayefanya makao yake juu?+ Isaya 40:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Lakini ninyi mnaweza kunifananisha na nani ili nipate kuwa sawa naye?” asema aliye Mtakatifu.+ Yeremia 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa vyovyote hakuna yeyote aliye kama wewe, Ee Yehova.+ Wewe ni mkuu, na jina lako ni kuu katika nguvu.+
10 Naye akajibu: “Kesho.” Basi akasema: “Itakuwa kulingana na neno lako, ili ujue kwamba hakuna mwingine yeyote aliye kama Yehova Mungu wetu,+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+
6 Kwa vyovyote hakuna yeyote aliye kama wewe, Ee Yehova.+ Wewe ni mkuu, na jina lako ni kuu katika nguvu.+