5 Lakini nitawaonyesha ninyi yule mnayepaswa kumwogopa: Mwogopeni yule+ ambaye baada ya kuua ana mamlaka ya kutupa ndani ya Gehena.*+ Ndiyo, ninawaambia ninyi, Mwogopeni+ Huyo.
28 Kwa hiyo, kwa kuwa tutapokea ufalme ambao hauwezi kutikiswa,+ acheni tuendelee kuwa na fadhili zisizostahiliwa, ambazo kupitia hizo tunaweza kumtolea Mungu kwa njia inayokubalika utumishi mtakatifu kwa woga wa kimungu na heshima.+