Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nilipoona woga wao, mara moja nikasimama na kuwaambia watu wenye vyeo+ na watawala-wasaidizi+ na wale watu wengine: “Msiogope+ kwa sababu yao. Mkumbukeni Yehova, Yeye ambaye ni mkuu+ na Mwenye kuogopesha;+ na mpigane kwa ajili ya ndugu zenu,+ wana wenu na binti zenu, wake zenu na nyumba zenu.”

  • Nehemia 9:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “Na sasa, Ee Mungu wetu, Mungu mkuu,+ mwenye nguvu+ na mwenye kuogopesha,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo,+ usiache magumu yote ambayo yametupata sisi,+ wafalme+ wetu, wakuu+ wetu na makuhani+ wetu na manabii+ wetu na mababu+ zetu na watu wako wote tangu siku za wafalme wa Ashuru mpaka leo hii,+ yaonekane kuwa madogo mbele zako.+

  • Zaburi 48:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana+

      Katika jiji la Mungu wetu,+ katika mlima wake mtakatifu.+

  • Zaburi 145:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+

      Na ukuu wake hauchunguziki.+

  • Yeremia 32:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wewe unayeonyesha fadhili zenye upendo kuelekea maelfu,+ na kulipa kosa la akina baba katika vifua vya wana wao baada yao,+ Mungu wa kweli, aliye Mkuu,+ Mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi+ ndilo jina lake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki