9 Nawe unajua vema kwamba Yehova Mungu wako ndiye Mungu wa kweli,+ yule Mungu mwaminifu,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo kwa wale wanaompenda na wale wanaoshika amri zake mpaka vizazi elfu,+
23 naye akaendelea kusema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli,+ hakuna Mungu kama wewe+ juu mbinguni wala chini duniani, anayeshika agano na fadhili zenye upendo+ kwa watumishi wako+ wanaotembea mbele zako kwa moyo wao wote,+
18 ili, kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo katika hayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tupate kuwa na kitia-moyo chenye nguvu kushikilia tumaini+ lililowekwa mbele yetu.