Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 49:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yehova, Mkombozi wa Israeli,+ Mtakatifu wake, amemwambia hivi yeye ambaye amedharauliwa katika nafsi,+ yeye ambaye amechukiwa na taifa,+ mtumishi wa watawala:+ “Wafalme wataona na hakika watasimama,+ na wakuu, nao watainama, kwa sababu ya Yehova, ambaye ni mwaminifu,+ Mtakatifu wa Israeli, anayekuchagua.”+

  • 1 Wakorintho 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hakuna jaribu ambalo limewapata ninyi ila lile lililo kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni mwaminifu,+ naye hatawaacha ninyi mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili,+ bali pamoja na hilo jaribu ataifanya pia njia ya kutokea+ kusudi mweze kulivumilia.

  • 2 Wakorintho 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini Mungu anaweza kutegemewa ili neno letu kwenu lisiwe ni Ndiyo na pia Siyo.

  • Waebrania 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa imani Sara+ mwenyewe pia alipokea nguvu ili kuchukua mimba ya uzao, hata alipokuwa amepita mpaka wa umri,+ kwa kuwa alimwona kuwa mwaminifu yeye aliyekuwa ameahidi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki