Marko 10:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu alikuja, si kuhudumiwa,+ bali kuhudumu na kutoa nafsi yake iwe fidia+ badala ya wengi.”+ Luka 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana ni nani aliye mkuu zaidi, yule anayeketi mezani au yule anayehudumu? Je, si yule anayeketi mezani? Lakini mimi nimo katikati yenu kama yule anayehudumu.+
45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu alikuja, si kuhudumiwa,+ bali kuhudumu na kutoa nafsi yake iwe fidia+ badala ya wengi.”+
27 Kwa maana ni nani aliye mkuu zaidi, yule anayeketi mezani au yule anayehudumu? Je, si yule anayeketi mezani? Lakini mimi nimo katikati yenu kama yule anayehudumu.+