Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini Yehova alipendezwa kumponda;+ alimfanya kuwa mgonjwa.+ Ukiifanya nafsi yake kuwa toleo la hatia,+ atauona uzao wake,+ ataongeza siku zake,+ na mapendezi+ ya Yehova yatafanikiwa mkononi mwake.+

  • Danieli 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Kuna majuma 70 ambayo yameamuliwa juu ya watu wako+ na juu ya jiji lako takatifu,+ ili kukomesha makosa,+ na kumaliza kabisa dhambi,+ na kufanya upatanisho kwa ajili ya kosa,+ na kuleta uadilifu mpaka wakati usio na kipimo,+ na kupiga muhuri+ juu ya maono na nabii, na kupatia mafuta Patakatifu pa Patakatifu.+

  • 2 Wakorintho 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yeye ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi+ kwa ajili yetu, ili sisi tuwe uadilifu wa Mungu+ kupitia yeye.

  • Wagalatia 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kristo kwa kutununua+ alituachilia huru+ kutoka katika laana ya Sheria kwa yeye kuwa laana+ badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa juu ya mti.”+

  • Tito 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 aliyejitoa mwenyewe+ kwa ajili yetu ili atukomboe+ sisi kutoka katika kila namna ya uasi-sheria na kujisafishia+ mwenyewe watu walio wake kwa njia ya pekee,+ walio na bidii kwa ajili ya kazi njema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki