11 “Na Haruni atamtoa yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili yake, na kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe na nyumba yake; naye atamchinja ng’ombe-dume huyo wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili yake.+
27 Yeye hahitaji kila siku,+ kama wale makuhani wakuu wanavyofanya, kutoa dhabihu, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe+ kisha kwa ajili ya zile za watu:+ (kwa maana yeye alifanya hilo mara moja+ kwa wakati wote alipojitoa+ mwenyewe;)