-
Waebrania 7:27Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
27 Yeye hahitaji kila siku, kama wale makuhani wa vyeo vya juu wafanyavyo, kuzitoa dhabihu, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe na kisha kwa ajili ya zile za watu: (kwa maana yeye alifanya hilo mara moja kwa wakati wote alipojitoa mwenyewe;)
-