27 Tofauti na makuhani hao wakuu, hahitaji kutoa dhabihu kila siku,+ kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe kisha kwa ajili ya dhambi za watu,+ kwa sababu alifanya hivyo mara moja kwa wakati wote alipojitoa mwenyewe.+
27 Yeye hahitaji kila siku,+ kama wale makuhani wakuu wanavyofanya, kutoa dhabihu, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe+ kisha kwa ajili ya zile za watu:+ (kwa maana yeye alifanya hilo mara moja+ kwa wakati wote alipojitoa+ mwenyewe;)