Waebrania 9:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 vivyo hivyo pia Kristo alitolewa+ mara moja kwa wakati wote ili kubeba dhambi za wengi;+ na mara ya pili+ atakapotokea+ itakuwa ni bila dhambi+ na kwa wale wanaomtazamia kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+ Waebrania 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana ni kwa toleo moja la dhabihu+ kwamba yeye amewafanya wale wanaotakaswa wawe wakamilifu+ daima.
28 vivyo hivyo pia Kristo alitolewa+ mara moja kwa wakati wote ili kubeba dhambi za wengi;+ na mara ya pili+ atakapotokea+ itakuwa ni bila dhambi+ na kwa wale wanaomtazamia kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+
14 Kwa maana ni kwa toleo moja la dhabihu+ kwamba yeye amewafanya wale wanaotakaswa wawe wakamilifu+ daima.