Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+ 1 Timotheo 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 aliyejitoa kuwa fidia inayolingana kwa ajili ya wote+—hili ndilo litakalotolewa ushahidi kwenye nyakati zake maalumu. 1 Petro 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Bali ilikuwa kwa damu yenye thamani,+ kama ile ya mwana-kondoo asiye na dosari na asiye na doa,+ ile ya Kristo.+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+
6 aliyejitoa kuwa fidia inayolingana kwa ajili ya wote+—hili ndilo litakalotolewa ushahidi kwenye nyakati zake maalumu.
19 Bali ilikuwa kwa damu yenye thamani,+ kama ile ya mwana-kondoo asiye na dosari na asiye na doa,+ ile ya Kristo.+