Wagalatia 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu+ ili atukomboe kutoka katika mfumo mwovu wa mambo+ wa sasa, kulingana na mapenzi+ ya Mungu na Baba yetu, Waefeso 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa njia yake tuna kuachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu+ ya huyo, ndiyo, msamaha+ wa makosa yetu, kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.+ Wakolosai 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ambaye kwa njia yake tunaachiliwa huru kupitia fidia, kusamehewa dhambi zetu.+
4 Alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu+ ili atukomboe kutoka katika mfumo mwovu wa mambo+ wa sasa, kulingana na mapenzi+ ya Mungu na Baba yetu,
7 Kwa njia yake tuna kuachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu+ ya huyo, ndiyo, msamaha+ wa makosa yetu, kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.+