Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Uzao utamtumikia;+

      Kizazi hicho kitatangaziwa juu ya Yehova.+

  • Zaburi 110:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+

      Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,

      Una kundi lako la vijana kama matone ya

      umande.+

  • Isaya 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana kuna mtoto ambaye amezaliwa kwetu,+ kuna mwana ambaye tumepewa;+ na utawala wa ukuu utakuwa juu ya bega lake.+ Naye ataitwa jina Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele,+ Mkuu wa Amani.+

  • 1 Wakorintho 15:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Hata imeandikwa hivi: “Mtu wa kwanza Adamu akawa nafsi hai.”+ Adamu wa mwisho akawa roho+ inayotoa uhai.+

  • Waebrania 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na tena: “Tegemeo langu litakuwa katika yeye.”+ Na tena: “Tazama! mimi na watoto wachanga, ambao Yehova alinipa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki