Zaburi 22:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Uzao utamtumikia;+Kizazi hicho kitatangaziwa juu ya Yehova.+ Zaburi 110:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,Una kundi lako la vijana kama matone yaumande.+ Isaya 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana kuna mtoto ambaye amezaliwa kwetu,+ kuna mwana ambaye tumepewa;+ na utawala wa ukuu utakuwa juu ya bega lake.+ Naye ataitwa jina Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele,+ Mkuu wa Amani.+ 1 Wakorintho 15:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Hata imeandikwa hivi: “Mtu wa kwanza Adamu akawa nafsi hai.”+ Adamu wa mwisho akawa roho+ inayotoa uhai.+ Waebrania 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na tena: “Tegemeo langu litakuwa katika yeye.”+ Na tena: “Tazama! mimi na watoto wachanga, ambao Yehova alinipa.”+
3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,Una kundi lako la vijana kama matone yaumande.+
6 Kwa maana kuna mtoto ambaye amezaliwa kwetu,+ kuna mwana ambaye tumepewa;+ na utawala wa ukuu utakuwa juu ya bega lake.+ Naye ataitwa jina Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele,+ Mkuu wa Amani.+
45 Hata imeandikwa hivi: “Mtu wa kwanza Adamu akawa nafsi hai.”+ Adamu wa mwisho akawa roho+ inayotoa uhai.+
13 Na tena: “Tegemeo langu litakuwa katika yeye.”+ Na tena: “Tazama! mimi na watoto wachanga, ambao Yehova alinipa.”+