18 Tazama! Mimi na watoto ambao Yehova amenipa+ ni kama ishara+ na kama miujiza katika Israeli kutoka kwa Yehova wa majeshi, anayekaa katika Mlima Sayuni.+
3Oneni namna ya upendo+ ambao Baba ametupa sisi, ili tuitwe watoto wa Mungu;+ na sisi ndivyo tulivyo. Ndiyo sababu ulimwengu+ hautujui sisi, kwa sababu haumjui yeye.+