16 Kwa maana kabla ya mvulana huyo kujua jinsi ya kukataa lililo baya na kuchagua lililo jema,+ nchi ya wale wafalme wawili mnaowahofu na kuchukizwa kwa sababu yao itaachwa kabisa.+
3 Ndipo nikamkaribia yule nabii wa kike, naye akapata mimba na baada ya muda akazaa mwana.+ Yehova sasa akaniambia: “Mwite jina lake Maher-shalal-hash-bazi,