Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa maana kama vile siku za Noa+ zilivyokuwa, ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.+

  • Mathayo 25:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Wakati Mwana wa binadamu+ atakapofika katika utukufu wake, na malaika wote pamoja naye,+ ndipo atakapoketi juu ya kiti chake cha ufalme chenye utukufu.+

  • Ufunuo 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nikaona, na, tazama! farasi mweupe;+ na yule anayeketi+ juu yake alikuwa na upinde;+ naye akapewa taji,+ naye akaenda akishinda+ na kukamilisha ushindi wake.+

  • Ufunuo 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nikaona mbingu imefunguliwa, na, tazama! farasi mweupe.+ Na yeye aliyeketi juu yake anaitwa Mwaminifu+ na wa Kweli,+ naye anahukumu na kufanya vita kwa uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki