Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 39:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mara tu baragumu inapopiga yeye husema Aha!

      Naye hunusa harufu ya pigano kutoka mbali sana,

      Mshindo wa wakuu na kelele za vita.+

  • Methali 21:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Farasi ni kitu kilichowekwa tayari kwa ajili ya siku ya pigano,+ lakini wokovu ni wa Yehova.+

  • Yeremia 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nimetega sikio,+ nami niliendelea kusikiliza.+ Jinsi walivyoendelea kusema haikuwa sawa. Hakuna mtu yeyote aliyekuwa akitubu ubaya wake,+ akisema, ‘Nimefanya nini?’ Kila mmoja anarudi katika mwendo unaopendwa na wengi,+ kama farasi anayekimbia kwenda vitani.

  • Ufunuo 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nikaona, na, tazama! farasi mweupe;+ na yule anayeketi+ juu yake alikuwa na upinde;+ naye akapewa taji,+ naye akaenda akishinda+ na kukamilisha ushindi wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki